Tuesday, October 19, 2010

HOW TO GET THE SHAGZ GAL

Andi Pee,napendako kukushukhuru sana kwa kutusaidieko kwa hii maneno chafu.Ningeulisako kuna huyu mutem anaitweko Nepukhulu kutoka Khayega ambao inafanyeko damu yangu nakimbia 100 km na chuma yangu kusimama 90 dikiris.Kuna vile naweza kufanya anipatieko hiyo kitu yake!!!,na nikishindweko nawesako kuongea nawewe musuri? 

Youass Truli, 
Mukovero 


Aunt Bee, I have a similar problem as Mukhovero.Only that you will need to replace 'Nepukhulu' with 'Lady XXY'.
Chilling out here 4 the answer!



Joe




Dear lovestruck Mukovero , 
Sasa ile chitu utafanya, kwanza umpatieko Nepukhulu maneno matamu.Umwampieko file ako na sura nzuri kama ya malaika, meno meupe kama masiwa,na yeye tu ndio samaki kwa pahari yako. Halafu ununulie yeye fitu kama Mafuta ya ng'ombe ya kuchipaka kwa mwili,Liquid paraffin ya kupaka kwa nywele na rexona ya kuogea, na umuchunie miwa kwa shamba akuleko.

Halafu paata ya muta kitoko utafanya ile wasungu wanaita "move in for the kill"

Umupate kama anaenda mtoni kuchota machi na umupatie maua msuri ya hipiscus.Halafu ukishamuongelesha fisuri umuguse kitoko kwa matiti.Ukiona amesikia utamu uendelee kumukusa ukielekea jini.Sasa ukiona anafurahia endelea hivyo hivyo mpaka akupatie fitu hapo hapo kwa mahindi.

Ukishindwa pasi wewe huna maana kwa hifyo hata mimi pia sikutaki.

Joe,
Apply the same methodology on Lady XXY and let me know how it goes.Of course it only applies if she is born, bred and living in shags.

Aunt Bee

1 comment:

  1. andi Beeeee, si umenichass pwana...kondiniu like thati...KKS(kucheka kwa sauti)

    ReplyDelete